1:47 AM | Posted by Unknown
Katika harakati za kujitafutia utajiri, Njemba moja nchini Nigeria imemuua na kumfukia mtoto wake wa miezi minne kwa kile kinachodaiwa kujitafutia utajiri. Tukio hilo la kinyama limefanyika katika Mkesha wa mwaka mpya mpya. Hata hivyo siku chache zilizofuata kioja cha njemba hiyo kiligunduliwa na sasa yupo mikononi mwa vyombo vya dola.

Posted by Unknown
on 1:47 AM. Filed under
.
You can follow any responses to this entry through the
RSS 2.0.
Feel free to leave a response