1:37 AM | Posted by Unknown
-->
--> Msanii Baby Joseph Maarufu kama Baby Madaha amekanusha habari zinazozagaa mtaani kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na Slim. Baby aliongeza kuwa yeye na Slim ni mtu na Shemeji yake na kwamba wamekuwa karibu siku za hivi karibuni kutokana na kumshirikisha Slim katika Video yake Mpya. Kwake yeye ni Bora Maisha ya U single kuliko kujihusisha katika Mapenzi Tena.

Posted by Unknown
on 1:37 AM. Filed under
Udaku wa Tanzania
.
You can follow any responses to this entry through the
RSS 2.0.
Feel free to leave a response